autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 363
Baada ya kuwa kimya muda mrefuu bila kusikika kwenye vyombo vya habari, hakika kimya kingi kina mshindo mkubwa,
Hussein machozi Akiwa mombasa kwa ajili ya kushoot video yake msanii hussein machozi afumaniwa na mke wa mfanyabiashara huko kenya mombasa na kuambulia kichapoooo cha nguvu kutoka kwa walinzi wa mume wa mwanamke aliefumaniwa naye.
Kwa sasa yupo hospitali akiiuguza majeraha.
Chanzo; Standard Media
Hussein machozi Akiwa mombasa kwa ajili ya kushoot video yake msanii hussein machozi afumaniwa na mke wa mfanyabiashara huko kenya mombasa na kuambulia kichapoooo cha nguvu kutoka kwa walinzi wa mume wa mwanamke aliefumaniwa naye.
Kwa sasa yupo hospitali akiiuguza majeraha.
Chanzo; Standard Media