Au muulize David Mataka
Hivi nae anapumuliwa huyu?
yupo! ukitaka kumuona nenda Kinondoni kwa mayanya amefungua Pub na mkewe Ashura!
leo nimepishana nae Airport Dsm, Akienda kupanda KQ kuelekea NBO, KISHA mombasa kwa rafikizeYap thats right yupo kinondoni manyanya mtaa kama wa tatu hivi ana Pub yupo pale sana!!!!!
aseee na ndo manake kajipiga makarolight na maminyororo kivile wababa wa namna hii wananikasirisha,asa ashura wa kaz gani? Aaaaggggghhhhrrrrrrr! Umeniharibia siku looolbibie unauliza msikiti saudiarabia
Yaani dada Flora huyo kaolewa mitaala na General Defao Wa DRC. kazi kweli kweli, Real Man hawezi kujichubua vile na kusheheni minyororo. Ashura ni Wa show off tu lakini pale anapojitaji shughuli humuaga Macheni na kwenda kupata msuguo Wa kikweli kwa mkali wake. Wala Hilo halina mjadala
Wakuu naomba kuuliza huyu jamaa yuko wapi?
nyie hussein hana michezo hiyo sema usmart wake ndio unampoza,jamaa anajipenda sana toka enzi hizo,mimi nimekaa nae beach sana pande za Athens,yeye na slim a.k.a.checkbob maarifa ni watu wa kujipenda toka enzi zile kule na waliwala sana watoto wa kizungu kutoka na utashati wao,hizi maisssue za uchoko sio kweli.