Kwa kula nini?Kwa jinsi mbunge huyu Stephen Julius Masele alivyo anza kuchangia nilidhani ana jambo la muhimu kwa kauli yake yakuanza kuponda kwamba Bunge lina jadili swala muhimu sana na kile siyo kikao cha harusi.......Mara kaanza kusifia wasukuma kwa kula sana.......... Hivi hili ndilo alilotumwa na wapiga kura wake kweli?