.... Suala ya yeye, Shigella na Ridhiwani kudaiwa ni mafisadi kasema ni maoni ya watu. Ila akasisitiza ndani ya CCM pamevamiwa pia na yeyote sasa anaweza kuongea na vyombo vya habari na kutoa taarifa tu!
- Anasisitiza mkakati wa kuchafuana ndani ya UVCCM unajulikana unasukwa na nani na anaye-finance anajulikana kwani dhamira yake ni urais 2015. Ametuma vijana Iringa, Mbeya, Ruvuma na anaendelea kuwatumia wengi. Itafika wakati watalazimika kumtaja hadharani.
- Kaulizwa kama wataitumia JF kakiri kuwa wataitumia pia kukusanya maoni ya wananchi kuelekea kuifanya UVCCM irejeshe heshima yake na ku-appeal kwenye public.
JF imeingiliwa
Hawezi kuongea tofauti na wenzake wakati anatamani aendelee kuwepo uvccm.Natumaini atatoa ufafanuzi juu ya suala la uraia wake (hajawahi kuongelea hili)
...haachi asili yake ndio maana hataki uhuru wa kutoa maoni yalivyo hapa. Anataka iwe kama kwa babu zake!Huyu kijana jana 03-05-2011 akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya UVCCM taifa alidai uhuru wa kutoa maoni umezidi na hivyo kuwa Fujo,binafsi nilimfagilia aliposhinda kura za maoni nzega japo baadae shoka la zengwe la uraia likamshukia na baadae kusafishwa kiaina na hata pia mabadiliko aliyofanya Habari Corp yalikuwa na mwelekeo mzuri
Ila kwa mtazamo wangu naona kijana amelikoroga kwa kutetea hoja ya kunyamazisha watu kutoa maoni yao juu ya hatma ya serikali yao
Najiuliza pia hii series ya kauli ya viongozi wa UVCCM akina Shigela,Riz1,Malisa na wengineo zinalenga nini? wametumwa hawa!
Benno Malisa utajuta kumpa huyo mkimbizi hii kazi, ina maana ulishindwa kupata kijana mtanzania mzawa si siri hili nitatizo kubwa sana kutegemea wageni waje kututatulia matatizo yetu hii ni fedhehaSikuizi kila mtu ana press conference, hata mtotowamgu wa darasa la sita anacheka, kwa mtu kama bashe kuwa na hii. Duhhhone:
Sikuizi kila mtu ana press conference, hata mtotowamgu wa darasa la sita anacheka, kwa mtu kama bashe kuwa na hii. Duhhhone:
Msikilize Bashe ujue Rostam Aziz ana mwelekeo gani, Bashe sasa ni mdomo wa Rostam