Hussein Bashe Aja Na Yake Ktk Face Book

bashe tunamjua ni mfuasi wa lowasa! huna jipya bashe na mbinu zenu na hao baba zako RA na EL tunazijua!

Namuunga mkono Bashe Nchi hii ipo katika wakati mgumu kiuchumi ,kisiasa na hata kijamii kuliko vipindi vyote tulivyowahi kupita, na la pili Sioni tatizo kwa Bashe kuwa mfuasi wa lowasa sina tatizo na hili hata kidogo so far lowasa ni kiongozi mwerevu, na mchapa kazi we have to acept that Edo ni miongoni mwa watanzania wachache waliojaliwa kuwa na karima ya uongozi,

Ni nani anayebisha kuwa lowasa akiwa waziri mkuu alifanya mambo mengi mazuri ambayo yanafaa kuenziwa , Ni nani anayebisha kuwa ni Lowasa ndie aliepambana na kuhudhibiti ugonjwa wa Rift Valley 2006 , Tumesahau kuwa ni lowasa aliyesimama imara dhidi ya ajenda za nchi za kaskazini mwa Africa za kuzuhia tanzania kutumia maji ya ziwa victoria,Ni nani anayebisha kuwa ni lowasa ndie aliyewaondoa wahindi waliopora Viwanja katikati ya jiji la Dar es Salaam ,Tumesahau lowasa alivyokuwa anahangaika usiku na mchana kipindi cha njaa mwaka 2006/2007 kuhakikisha hakuna mwananchi anaekufa na njaa ,Ni nani anayebisha kuwa shule za kata ni juhudi binafsi za edo ,Ni nani anayebisha kuwa sera ya serikali kuwa na dispensary kila kata ni jitihada za lowasa ,Ni nani anayebisha kuwa kipindi cha lowasa serikali ilikusanya kodi na kufikia malengo .Tatizo lililopo watanzania tumekuwa wasahulifu

Lowasa ameondoka madarakani miaka 3 iliyopita Nchi inayumba inakabiliwa na matatizo makubwa ya ajira ,mfumuko wa bei ,tatizo la umeme, upungufu wa walimu,upungufu wa uduma za jamii,kufeli kwa wanafunzi kidato cha nne ,Msongamano wa magari jijini mwanza , Arusha ,Dar (Angalau dar edo alituletea barabara tatu na akaomba FFu isaidie trafiki kupunguza tatizo la msongamano wa magari .Tatizo letu sisi watanzania hatupendi kukubali mazuri yanayofanywa na wezetu both in private sector na serikalini ,tumezohea kudanganywa na waandishi wa habari ambao uwezo wao wa kufikiri una mashaka

juhu ya yote We have to agree and apreciate that lowa is a visionary leader
 
Hivi ana work permitt huyu? maana ccm walimvua uraia

Ni Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa ,na mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa sasa unahuliza swali ghani?, Please jaribu kuhuliza maswali yenye tija sio maswali ya kisadist sadist
 
Namuunga mkono Bashe Nchi hii ipo katika wakati mgumu kiuchumi ,kisiasa na hata kijamii kuliko vipindi vyote tulivyowahi kupita, na la pili Sioni tatizo kwa Bashe kuwa mfuasi wa lowasa sina tatizo na hili hata kidogo so far lowasa ni kiongozi mwerevu, na mchapa kazi we have to acept that Edo ni miongoni mwa watanzania wachache waliojaliwa kuwa na karima ya uongozi,

Ni nani anayebisha kuwa lowasa akiwa waziri mkuu alifanya mambo mengi mazuri ambayo yanafaa kuenziwa , Ni nani anayebisha kuwa ni Lowasa ndie aliepambana na kuhudhibiti ugonjwa wa Rift Valley 2006 , Tumesahau kuwa ni lowasa aliyesimama imara dhidi ya ajenda za nchi za kaskazini mwa Africa za kuzuhia tanzania kutumia maji ya ziwa victoria,Ni nani anayebisha kuwa ni lowasa ndie aliyewaondoa wahindi waliopora Viwanja katikati ya jiji la Dar es Salaam ,Tumesahau lowasa alivyokuwa anahangaika usiku na mchana kipindi cha njaa mwaka 2006/2007 kuhakikisha hakuna mwananchi anaekufa na njaa ,Ni nani anayebisha kuwa shule za kata ni juhudi binafsi za edo ,Ni nani anayebisha kuwa sera ya serikali kuwa na dispensary kila kata ni jitihada za lowasa ,Ni nani anayebisha kuwa kipindi cha lowasa serikali ilikusanya kodi na kufikia malengo .Tatizo lililopo watanzania tumekuwa wasahulifu

Lowasa ameondoka madarakani miaka 3 iliyopita Nchi inayumba inakabiliwa na matatizo makubwa ya ajira ,mfumuko wa bei ,tatizo la umeme, upungufu wa walimu,upungufu wa uduma za jamii,kufeli kwa wanafunzi kidato cha nne ,Msongamano wa magari jijini mwanza , Arusha ,Dar (Angalau dar edo alituletea barabara tatu na akaomba FFu isaidie trafiki kupunguza tatizo la msongamano wa magari .Tatizo letu sisi watanzania hatupendi kukubali mazuri yanayofanywa na wezetu both in private sector na serikalini ,tumezohea kudanganywa na waandishi wa habari ambao uwezo wao wa kufikiri una mashaka

juhu ya yote We have to agree and apreciate that lowa is a visionary leader

Mapesa, nakubaliana nawewe kabisa kuwa Lowasa na mchapa kazi sana, tena mara mia hata ya J.K, lakini pia hatuwezi kusahau kuwa EL ni mbinafsi namba moja, anaetaka kila kitu kiwe chake, hatuwezi kuacha kumuhusisha el na ufisadi, ukianzia kwenye Dowans, Ticks, Roliondo na mwingine mwingi tu. Chamsingi zaidi ni kwamba matatizo yote yanayoandama watz ni laana toka kwa mwl. Nyerere aliewakataa JK na Lowassa, ila sisi tunamakumbatia.
Pole sana bashe(msomali) CCM haiwezi kuleta mabadiliko tz, hata mfanye vikao 100, alternative pekee tuliyonayo ni kuopt CHADEMA
 
lakini si umeona na JK mwenyewe ameainisha katika hotuba yake??
CDM kwa sasa ni moto wa kuotea mbali na kama watajifanya ni vipofu kutoangalia hali halisi basi itakula kwao
...Kwa bahati mbaya, kwa sisiemu niijuayo, kilio chake ni sawa na cha samaki, hakiwezi kusikika! Chama chake ni sikio la kufa.
 
It will be a waste of time.
Uzoefu unaonyesha kuwa kikao chochote cha UVCCM hii ya sasa hatimaye kitaamua yale anayoyataka Riz1, naye anafanya watakayo washkaji zake na washkaji wa baba'ake.
Au kama vp wafanye tu hicho kikao tuone msuguano kati ya kambi ya Bashe na kambi ya Riz1...

Hapo ndio patamu wangeitisha huo mkutano tuone sarakasi za hawa vijana na manazi wachache wanakiunga mkono hiko chama wabadili nia mapema!!
 
Back
Top Bottom