Atakuandalia yaliyonikuta. Lol.
taarifa zisizo rasmi ni kwamba maeneo ya dodoma wanaichukulia kondom kama "govi la mzungu" sasa wanasema kuvaa govi la mzungu ni kumshirikisha mzungu kwenye tendo la ndoa lako wewe na mwenza wako. nitakuwa na kibarua kipevu walahi lakini uzoefu utasaidia. nitafupisha kikao ili npate sku tatu za kuibiana na husninyo.hahahahaha hii sababu nyengine ya kuvunjika mbavu....haaa..ina maana wajamaa wako nyuma sana kwenye utumiaji wa kondom?
uskonde, utapata ovadozi na ka kondom ka ekstra large. nakuja peke yangu, hakikisha na wewe unakuwa peke yako.karibu sana. Usisahau kuniletea dozi ya klorokwin na sample ya condom.
Kwa hiyo Husna ndo mipango yote kwa week mbili hizi?
Baada ya hapo ---atakuwa free zone na unaahidi ku-share?
Natoa angalizo tu hapa............Nimemtuma Lizzy kufuatilia nyendo zako kwa siku kadhaa ili kujua kama utaruadia zaidi ya mara tatu kununuliwa Fanta....tamu bila -kushare.
Mchango uuwakilishe kwa Asprin.
Nimekusoma...........hizi nomino zako ngumu sana kuelewekaduh hapa si unantafutia ugomvi na mchungaji Masa....hiyo laana yake naweza ishia njiani nisionane na Husninyo bana.......
Its only after that tunaweza kudiscuss kipengele cha pili...kwa sasa tusubiri kidogo...
Jf ina mambo khe khe kheeeeeeeeeeeeee
uskonde, utapata ovadozi na ka kondom ka ekstra large. nakuja peke yangu, hakikisha na wewe unakuwa peke yako.
Yaani kichapo na mkongoto wa FFU wa pale UDOM, unaita machache. Yeye utampeleka Milembe kabisa. Lol.nitamuandalia machache. Wewe nilikupendelea sana.
uskonde, utapata ovadozi na ka kondom ka ekstra large. nakuja peke yangu, hakikisha na wewe unakuwa peke yako.
Hapana mkuu. Nilitinga kishkaji sana na 110 GRANDE ya kuazima. Lakini hakutokea hata kuja kuniona. Au aliniona matawi ya juu sana. Lolhaaa, sidhani kama ataweza kumfanyia hivyo mwenyekiti, mkuu ulienda na nguo za kichifu labda akakuogopa nini?
Sasa hii tiketi ya basi niliyoshaikata taipeleka wapi?:sad::mmph::doh:
anyway ngoja kesho tairudisha haikuwa bahati yangu
Hapana mkuu. Nilitinga kishkaji sana na 110 GRANDE ya kuazima. Lakini hakutokea hata kuja kuniona. Au aliniona matawi ya juu sana. Lol
Niuzie mie. Baada ya kujua kuwa bado yuko Dom, nampandia tena bila ya kujali yaliyonikuta. Nzi kufia kwenye chupa ya asali ni halali kabisa.Sasa hii tiketi ya basi niliyoshaikata taipeleka wapi?:sad::mmph::doh: anyway ngoja kesho tairudisha haikuwa bahati yangu