Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hii haiwezi kuwa ni translation ya ukabaila kwa local language?hommie sina sumaku bana na ningekuwa nayo nisingekuazima kamwe....
Hii haiwezi kuwa ni translation ya ukabaila kwa local language?hommie sina sumaku bana na ningekuwa nayo nisingekuazima kamwe....
Stop being unfair.... I like calling you sis-in-law!Babu i have a Twin namely Faiza Foxy...lol... unfortunately she is spoken for by MTM, and Rev Fr is in love with her too....
Yeah? From betrayer to protector huh?...........with lots of love!mara hii hommie and She has been so FAIR to u all this time, wewe apo ndo unakuwa unfair.....
Inauma sana aiseehahahahahaha...hii kali sana aiseee (inauma sana ujue)
Stop being unfair.... I like calling you sis-in-law!
mara hii hommie and She has been so FAIR to u all this time, wewe apo ndo unakuwa unfair.....
Habari yako bana.... tupo kupata late lunch hapa... care to join? lol
Naomba uache bili, leo nachelewa kuja. Ofisin wamenibana . . .
Babu Asprin unajisumbua bure tu kwa ADI . . . . .
babu sikukwambia mjukuu wako mimi ni sister.I think I better find someone else...... this Ashadii girl is permanently attracted to my hommie's magic magnetism.Now.... where the hell is Husninyo?......Come this way baby...........
Mimi na Sweetie tulikua na Marrital problems... lunch nilikua nakukaribisha home... na tushamaliza... mpaka karibu tunapumzika....
Thats taken care of CPU
Yaani ukiwa unanitenga namna hii ni kama unanifanyia Assassination ya makusudi . . . .
Najua hunipendi siku hizi
Kaiser nijulishe basi kama mahabuba wako ana sister ake nianze kufanya mazoezi ya kiingletha nisiwe kama mr handsome
Sijakutenga.... nishakwambia kua nakupenda huko nyuma na niwe dada wa hiari ukaleta pose...
You are a good Man.... Unajua kabisa lazima upitie kwa Mume kwanza hata kama dada yangu.... Safi saana...
Naona watu mnajitangazia uhuru na mamlaka tu kama sudan ya kusinihahahaha GY nani kabaila tena....nilidhani ulitokomezwa tulipopata uhuru