hahahaaa...wewe ni yupi apo?
au ndo ww unakazana kujitazama hapo km umependeza...loh huku mjini mnatuuzia mbuzi kwa gunia aloo.!
Dogo ana furaha leo kapata mchumba......anaitwa Bi.....Jaman jaman!ww Bagah huu mpango jaman huogopi kuvunja ndoa za watu jaman lol!hujui hao wote wake za watu jaman!
Jaman jaman!ww Bagah huu mpango jaman huogopi kuvunja ndoa za watu jaman lol!hujui hao wote wake za watu jaman!
Hahahaaaaa dogo angaliahata sijui...maana ni AFADHALI na POTELEA MBALI...
Jaman jaman!ww Bagah huu mpango jaman huogopi kuvunja ndoa za watu jaman lol!hujui hao wote wake za watu jaman!
Dogo mbona mgumu kuelewa?no wonder mkeo anakua LONELY mpaka anatangaza jamvini...muda wote unanichunga mdogo wako!tehee!
Tena mi kwa hasira nitaitafuna kavukavu kwanza then nashushia nba chai baadaeeeeee akome kabisa....ngoja nimuite mme wangu. Halafu swahiba nampigia simu simpati. Wakija hapa bagah tutaila na chai
WeeeeeeeeeeeeeeeeHahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Dogo ana furaha leo kapata mchumba......anaitwa Bi.....
waache kujidai...akati enzi zao ndo kama ivyo...kila kitu wazi...weusiii...afu saa hizi wanajiona wazuungu...na nywele za kuunga na supagluu!...niliiokota hii pic kwa braza angu Jg!