Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Duh! rafiki yangu spanish lady ana mkosi wa kupendwa na masharobaro kwanza alianza Figganigga na sasa kaingia Sharohiphop
hahahaha! Sharo huyo wa cheusi bwana.
Dah!
Duh! rafiki yangu spanish lady ana mkosi wa kupendwa na masharobaro kwanza alianza Figganigga na sasa kaingia Sharohiphop
Jaman Asha D, lizzy naombeni mnielewe kuwa mchecheto kwa bibi yangu Cheusi mangala bado uko palepale, hus nilikuwa namshauri aweke avatar yake kwa niaba ya wengine ambao hawana. Sio kwamba nimezima kwingine!
Oyoh Sharo?
Kwani tayari watu mshaanza kujigawia maeneo? lol
Hey uko poa?? Kuna uzi mmoja ulikimbia, sijui uzi gani nimesahau...lol... Enways watu wameshagawa maeneo nakushauri ufanye haraka!
Unanifundisha kuchakachua eh?? lol...!
Pia kuna uzi wa "Lizzy" kule unaitwa "nani........?" pitia kidogo kule
Nilichelewa kidogo.
Happy to see u lol kwenye uzi huu