Choka mbaya huyo! Hivi nchi yetu inaongozwa na mashetani au nyota na majini?
"Uzuri" wake huyu kikongwe huwa anajikomba kwa viongozi wa Serikali, la sivyo "angeshanyamazishwa" siku nyingi kwa kutishia watu vifo!
Choka mbaya huyo! Hivi nchi yetu inaongozwa na mashetani au nyota na majini?
Nchi hii kila kitu kinawezekana!sio kujikomba Buchanan,
huyo Bwana yupo kazini kama Mrema, Marando na wengineo, hayo anayoyaongea sio ya kuyapuuzia hata kidogo, ichukulie hiyo ni kauli rasmi kutoka ikulu, huyo ni mtu wa system miaka nend amiaka rudi
Uaguzi na uchawi...mkuu,hapo kwenye walawi ni uaguzi au UCHAGUZI?