Husband vs Wife

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292

HUSBAND:

God saw me hungry, he created pizza.
He saw me thirsty, he created Pepsi.
He saw me in dark, he created light.
He saw me without problems, he created YOU.


WIFE:
Twinkle twinkle little star
You should know what you are
And once you know what you are
Mental hospital is not so far.

HUSBAND:
The rain makes all things beautiful.
The grass and flowers too.
If rain makes all things beautiful
why doesn't it rain on you?

WIFE:
Roses are red; Violets are blue
Monkeys like u should be kept in zoo.
Don't feel so angry you will find me there too
Not in cage but laughing at you…
 

HUSBAND:

God saw me hungry, he created pizza.
He saw me thirsty, he created Pepsi.
He saw me in dark, he created light.
He saw me without problems, he created YOU.


WIFE:
Twinkle twinkle little star
You should know what you are
And once you know what you are
Mental hospital is not so far.

HUSBAND:
The rain makes all things beautiful.
The grass and flowers too.
If rain makes all things beautiful
why doesn't it rain on you?

WIFE:
Roses are red; Violets are blue
Monkeys like u should be kept in zoo.
Don't feel so angry you will find me there too
Not in cage but laughing at you…

Samahani, naomba nichangie kwa namna tofauti ...

Kwa sehemu, kuna ukweli kuwa wanandoa (husband & wife) wanaoishi pamoja, kila mtu anaweza kuwa kikwazo kwa mwenzio mpaka kufikia hatua ya kumpa pressure au ugonjwa wa moyo kwa kufanyiana tabia zisizo nzuri. Hii imesababisha mahusiano ya kindoa yaonekane kana kwamba ni mabaya na ya kukatisha tamaa. Lakini ukweli ni kwamba, wanandoa (Husband na wife) hawana matatizo makubwa ya kiasi hicho kama wengi wanavyofikiri, ila wachache wenye matatizo, yamekuwa wazi na kuifanya ndoa ionekane kama shimo la mateso!

Kikubwa ni kuwashauri Husband na wife wawe na upendo wa dhati, wakishirikiana, kushauriana na kusaidiana katika shida na raha, huku wakivunja ukimya juu ya suala zima la rusha roho kama haliendi vzr ndani ya mahusiano yao na namna ya kutatua tatizo hilo.

Hii itatusaidia kuepukana na haya ambayo ndugu yangu Ndallo ameyaandika.
Thank you Ndallo kwa kutukumbusha hayo.
 
Samahani, naomba nichangie kwa namna tofauti ...

Kwa sehemu, kuna ukweli kuwa wanandoa (husband & wife) wanaoishi pamoja, kila mtu anaweza kuwa kikwazo kwa mwenzio mpaka kufikia hatua ya kumpa pressure au ugonjwa wa moyo kwa kufanyiana tabia zisizo nzuri. Hii imesababisha mahusiano ya kindoa yaonekane kana kwamba ni mabaya na ya kukatisha tamaa. Lakini ukweli ni kwamba, wanandoa (Husband na wife) hawana matatizo makubwa ya kiasi hicho kama wengi wanavyofikiri, ila wachache wenye matatizo, yamekuwa wazi na kuifanya ndoa ionekane kama shimo la mateso!

Kikubwa ni kuwashauri Husband na wife wawe na upendo wa dhati, wakishirikiana, kushauriana na kusaidiana katika shida na raha, huku wakivunja ukimya juu ya suala zima la rusha roho kama haliendi vzr ndani ya mahusiano yao na namna ya kutatua tatizo hilo.

Hii itatusaidia kuepukana na haya ambayo ndugu yangu Ndallo ameyaandika.
Thank you Ndallo kwa kutukumbusha hayo.
HorsePower , Mkuu toka nianze kusoma post/thread zako hii ndo ya kwanza yenye Busara, Keep it up Bro
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom