Hii nimeikuta kwenye wall page ya mholanzi aishiye Arusha, akielezea furaha ya kuokoa maisha ya mbwa.
"I think it is safe to tell now, we have a new puppy her name is Suffy and she survived the streets of Arusha, she improves, karibu nyumbani"
Huruma hii angefanya kwa mtoto wa mtaani ningemwelewa, yeye kaona bora aokote kambwa street na kuishi nako.
Kweli Africa na european tumetofautiana kwenye vipaumbele.
"I think it is safe to tell now, we have a new puppy her name is Suffy and she survived the streets of Arusha, she improves, karibu nyumbani"
Huruma hii angefanya kwa mtoto wa mtaani ningemwelewa, yeye kaona bora aokote kambwa street na kuishi nako.
Kweli Africa na european tumetofautiana kwenye vipaumbele.