Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Kutokana na maamuzi ya mkutano uliomalizika jana mjini dodoma,na kutokana na Utetezi wa Lowasa,na kuhoji uhalali wa wawili hawa kuzunguka nchi nzima wakimtukana kwa kutumia pesa ya chama icho,je Nape na Chiligati wanalipi watakalokwepa?
Ngoja tuwe wazi,Nape na Chiligati hawana walilobakiza katika ccm(kwa mtazamo wangu) na iwekwe kwenye record humu jamvini kuwa cc itawaondoa kwa tuhuma izo haiwezi wabakiza.
Nawasilisha.
Ngoja tuwe wazi,Nape na Chiligati hawana walilobakiza katika ccm(kwa mtazamo wangu) na iwekwe kwenye record humu jamvini kuwa cc itawaondoa kwa tuhuma izo haiwezi wabakiza.
Nawasilisha.