yaani hapa kibaha mailimoja , umeme ukirudi utawasikia watu mitaani wakisema huooooo...!!!
Pengine haichekeshi kwa sababu mtu hacheki kilema, kwani umeme kuzimwa na kuwashwa umekuwa kilema. Ili kuthibitisha kuwa haya hutokea sehemu nyengine mbali na Kibaha, Mpemba mmoja alipokuwa na wenzake wanasali msikitini alifanya hivyo hivyo.Hata hakichekeshi.
bora hata yako umeichakachua inachekesha kidogo.Pengine haichekeshi kwa sababu mtu hacheki kilema, kwani umeme kuzimwa na kuwashwa umekuwa kilema. Ili kuthibitisha kuwa haya hutokea sehemu nyengine mbali na Kibaha, Mpemba mmoja alipokuwa na wenzake wanasali msikitini alifanya hivyo hivyo.Wakiwa katika sala ghafla umeme ulizimwa ikabidi waendelee kula mbacha gizani. Ghafla uliwashwa wakiwa wanasujudi. Mpemba akasahau sala na kupiga kelele: "Huo, huo, huo, unwashwa! Waona abaa, unwashwa!