Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,397
..Humphrey Polepole "alikuwa" ni mmoja wa watu walioipinga "katiba inayopendekezwa" kutoka "bunge maalum la katiba"
..mpaka muda huu bado "kura" ya maoni haijapigwa.Je,Humphrey kama "Mkuu wa Wilaya" ataipinga katiba inayopendekezwa endapo kura ya maoni itaanza?????
..mpaka muda huu bado "kura" ya maoni haijapigwa.Je,Humphrey kama "Mkuu wa Wilaya" ataipinga katiba inayopendekezwa endapo kura ya maoni itaanza?????