Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
Wana JF hakuna Ubishi kwamba MNYIKA atapoteza jimbo la UBUNGO na MAHANGA atapoteza SEGEREA.Mwenendo kwa kesi ulivyokuwa ni dhahiri Dar kutakuwa na majimbo mawili wazi kuanzia kesho.MNYIKA aliponzwa na MKURUGENZI akatoa laptop zake ila MAKONGORO alijitakia.So CDM jipangeni yote myanyakue na hata la kule RUKWA. Nawasilisha kwa kumwombea mnyika kila la heri kwani UTENDAJI wake ni mzuri sana ila ajifunze asitegwe tena wakati mwingine.Nasikitika pia pesa za wtz zitatumika kurudia chaguzi hizi huku wafanyakazi wanalalama mishahara na ugumu wa maisha.Mungu ibariki Tz.