GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
Mpaka muda huu watuhumiwa 7 nasikia washaachiwa... Ngoja niongee na mwandishi wetu kisha narejeaMassati is very serious, lazima afuate sheria, jamaa hana upendeleo hata kidogo!, lazima ajenge na alinde hishma yake.
Massati is very serious, lazima afuate sheria, jamaa hana upendeleo hata kidogo!, lazima ajenge na alinde hishma yake.
Mpaka muda huu watuhumiwa 7 nasikia washaachiwa... Ngoja niongee na mwandishi wetu kisha narejea
hivi sasa ni saa tisa kasoro dakika chache muda wa kazi wa serekali unakaribia kuisha
mbona zombe nae atakula ubwabwa nyumbani leo?kwa tz aah inawezekana sana tuu.atatoka mtachonga sana ndani ya hrs tutasahau zitafuata habari za NEC Dodoma ndo zitashika hatamu,haya hii ndo tzMpaka muda huu watuhumiwa 7 nasikia washaachiwa... Ngoja niongee na mwandishi wetu kisha narejea
tayari sina imani na huyo hakimu mpaka hapaMpaka muda huu watuhumiwa 7 nasikia washaachiwa... Ngoja niongee na mwandishi wetu kisha narejea
Mpaka muda huu watuhumiwa 7 nasikia washaachiwa... Ngoja niongee na mwandishi wetu kisha narejea
Mpaka muda huu watuhumiwa 7 nasikia washaachiwa... Ngoja niongee na mwandishi wetu kisha narejea
Ngongo, 7ceven, Al Zagawi, AmaniKatoshi, babukijana, Babuyao, Bambo jr, Belo, Bill, Bint, bnhai, Boney E.M., Bongolander, Bwana, Elusive, Exaud Minja, ExpertBroker, Fatuma, Fidel80, FrankGM, George_Porjie, gervase malimi, gn30, Ipo siku, Jitukali, jituparatupu, JoJiPoJi, JosM, Joyceline, Kafiribangi, Kagoma, Kakalende, Kang, Katibukata, Kenge (Eng), Kimambo, Kimbweka, kinepi_nepi, Koiya, Kuntakinte, Kyemba, libidozy, Limbani, Lunanilo, Lussadam, Maamuma, Mairo, Masatu, Mathias, Maverick, Mburahati, Mchukia Fisadi, Mhafidhina, Mnyonywaji, Mpingo1, Mshiiri, Mtabaruka, Mtana, Mtu66, Mulugwanza, Mundu, mwalimu, Mwita Maranya, mzundu, Naminyo, Ndaga, Ndanda to Lomwe, Nemesis, Next Level, Ng'azagala, Ngorunde, Nimrodi Nkono, Njilembera, Offish, Pasco, PhD, Prince, RealTz77, rosebella, Shapu, share, Shy, SMU, Solent, Son of Alaska, SONDAS, taffu69, Thadeus, thurwa, Tshala, vstdar, Wa mmoja, Wa Tsavo, Wambandwa, watu, ygjunior
Duh wanaona wanajamvi mko mkao wa kula.
Duh wanaona wanajamvi mko mkao wa kula.
Ngongo, 7ceven, Al Zagawi, AmaniKatoshi, babukijana, Babuyao, Bambo jr, Belo, Bill, Bint, bnhai, Boney E.M., Bongolander, Bwana, Elusive, Exaud Minja, ExpertBroker, Fatuma, Fidel80, FrankGM, George_Porjie, gervase malimi, gn30, Ipo siku, Jitukali, jituparatupu, JoJiPoJi, JosM, Joyceline, Kafiribangi, Kagoma, Kakalende, Kang, Katibukata, Kenge (Eng), Kimambo, Kimbweka, kinepi_nepi, Koiya, Kuntakinte, Kyemba, libidozy, Limbani, Lunanilo, Lussadam, Maamuma, Mairo, Masatu, Mathias, Maverick, Mburahati, Mchukia Fisadi, Mhafidhina, Mnyonywaji, Mpingo1, Mshiiri, Mtabaruka, Mtana, Mtu66, Mulugwanza, Mundu, mwalimu, Mwita Maranya, mzundu, Naminyo, Ndaga, Ndanda to Lomwe, Nemesis, Next Level, Ng'azagala, Ngorunde, Nimrodi Nkono, Njilembera, Offish, Pasco, PhD, Prince, RealTz77, rosebella, Shapu, share, Shy, SMU, Solent, Son of Alaska, SONDAS, taffu69, Thadeus, thurwa, Tshala, vstdar, Wa mmoja, Wa Tsavo, Wambandwa, watu, ygjunior
Sasa haya mambo mengine kabisa 7 huru ? ukweli au kijeli sasa kama ni huru basi na kubwa lao litakuwa huru, jamani acheni masihara wenzenu wengine saa hizi tunapumua kama funza tunahema kama kupe hembu tupeni taarifa za uhakika tupumue vizuri au mambo ndio bado sasa bado kivipi tena?