Updated by Invisible:MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo itaamua Kamishna Msaidizi wa Polisi, Abdallah Zombe na wenzake wanane wanyongwe au la. Jaji Salum Massati atatoa hukumu ya kesi ya mauaji inayowakabili washitakiwa hao wanaodaiwa kuwaua watu wanne
Watuhumiwa wote wameachiwa hawana hatia!
Last edited by a moderator: