Inanipa shida kuamini kama mahakama zetu zinatenda haki hasa pale ambapo mshitakiwa ni kiongozi wa serikali au mfanyabiashara mkubwa hata kama kuna ushahidi uliojitosheleza. Kwa hali hii 2015 tutakapomkamata mgombea au kada wa chama tawala (ccm) anakiuka sheria ya uchaguzi hatuna haja ya kumkabidhi kwa vyombo vya dola, tutamshughulikia wenyewe hata iwe fundisho kwa wengine wanaotarajia kulindwa na vyombo vya dola. Tutawahamasisha nguvu ya umma katika hili na hasa vijana, nawasilisha kwenu wakuu.