Hukumu ya Lissu - Jisomee mwenyewe

Sasa Taifa hakika LIMEKOMBOLEWA ukiona kila thread aishi MUNGU Kutajwa hakika wasio mjua MUNGU wajiandaee kwa mawili KUTUBU KWA MATENO YAO MAOVU KWA UMMA na KUMLEJEA MUNGU,au KUKAA UKO UKO NA MWISHO WAKE NI AIBU NA LAANA JUU YA VIZAZI VYAO!!HAKIKA ATUKUZWE!!
 
ukisoma hukumu ya Tundu Lissu vizuri utaona jinsi gani jaji wa kesi ya Lema alivyochemka kwani kila hoja iliyotolewa na walalamikaji alisisita jambo moja kuu kutokuthibitishwa ndio ilikuwa sababu kubwa ya kuyakataa madai yao ambapo kwy kesi
ya Lema wahusika hawakuthibitisha maneno yao kwa kuleta ushahidi wowote ilikuwa ni maneno matupu.

Hongera sana Tundu Lissu na Mungu Akubariki ktk utumishi wako kwa watu wa singida.

Nani anajua background ya jaji wa Lisu, na background hiyo inalinganaje na ile ya jaji wa Lema? Hii tabia ya walioshindwa kunyamaza halafu etu wanatafuta wakaa kati wa kuwavuruga waliaoshinda ni kilema kingine ambacaho Katiba ijayo inabidi iangalie tena. Kuwa na vigezo imara vya kuzuia hizi frivolous lawsuits zisiwe zinapoteza muda wa wabunge na muda wa mahakama.
 
Analia nini sasa...
Da nyani sikutegemea kusikia unauliza swali kama ili mdau ,tunasema neno moja tu EMOTIONAL

Emotional means concerned with emotions and feelings.ni kusema kuwa ushitakiwe,kisha ujitetee pekee yako,huku unaoshindana nao wana kila kitu kukushinda japo haki yaweza kuwa juu yako,ilikuwa ni kudra za MUNGU,na si maarifa yake na ujuzi wake wa sheria kwa kuwa anajua dhahiri kushindana nao kuliitaji nguvu zaidi ya utashi wa kibinadamu!!

Ngabu basi uwe unazuka msondo popote pale walipo kama ni Mbagala Zakiem,au Tabata Mwisho, au Ilala Community Centre mbona tayari wangekuwa wameshakupa verse za kiutu uzima kupitia song lao naliheshimia "UKIONA MTU MZIMA ANALIA MBELE ZA WATU UJUE KUNA JAMBO"Next time be mature and dont ask that teens question dude!!!
 
Emotional means concerned with emotions and feelings.ni kusema kuwa ushitakiwe,kisha ujitetee pekee yako,huku unaoshindana nao wana kila kitu kukushinda japo haki yaweza kuwa juu yako,ilikuwa ni kudra za MUNGU,na si maarifa yake na ujuzi wake wa sheria kwa kuwa anajua dhahiri kushindana nao kuliitaji nguvu zaidi ya utashi wa kibinadamu!!

Hakukuwa na cha mungu wala mjomba'ake mungu.

The truth of the matter is that was just a frivolous lawsuit and I'm kinda surprised it even made it that far, to be honest with you.
 
Baada ya uamuzi wa kijinga na kishabiki wa kule Arusha ambao ulifanywa na Jaji yule ki CCM walio bakia na wenye busara zao sasa wanatumia vyema elimu yao na mamlaka yao.Uamuzi wa Lema umepeleka pia ujumbe mzito mno kwa CCM na sasa waliobakia wamejifunza na mbaya zaidi hata wakiita uchaguzi leo CCM itaanguka na labda watakata tena rufaa .Jaji wa kesi ya Lema hana amani wala raha na chochote alicho kipewa maana haki hii hucheleweshwa tu na huwezi imaliza kwa wenye nayo .
 
Kweli nimeamini ubunge dili. Yaani jamaa na utu uzima wake kalia kama mtoto! Dah, hii mpya!
 
Arusha kwa Lema huyu Mungu hakuwepo?
Shetani alikuwa mmoja wa malaika wakuu wa mwenyezi Mungu lakini akamuhasi Mwenyezi Mungu. Naye Muumba akamlaani shetani na akamwambia akatafute wenziwe huko duniani. Na hao wenziwe shetani ni pamoja na hawa akina magamba.
So si ajabu kuona shetani akinyanyasa watu wa Mungu kama alivyofanya kwa Kamanda Lema.
Kwa Mh. Lissu Mwenyezi Mungu kaingilia kati maana shetani anataka kujiona kama mfalme.
 
Da nyani sikutegemea kusikia unauliza swali kama ili mdau ,tunasema neno moja tu EMOTIONAL

Emotional means concerned with emotions and feelings.ni kusema kuwa ushitakiwe,kisha ujitetee pekee yako,huku unaoshindana nao wana kila kitu kukushinda japo haki yaweza kuwa juu yako,ilikuwa ni kudra za MUNGU,na si maarifa yake na ujuzi wake wa sheria kwa kuwa anajua dhahiri kushindana nao kuliitaji nguvu zaidi ya utashi wa kibinadamu!!

Ngabu basi uwe unazuka msondo popote pale walipo kama ni Mbagala Zakiem,au Tabata Mwisho, au Ilala Community Centre mbona tayari wangekuwa wameshakupa verse za kiutu uzima kupitia song lao naliheshimia "UKIONA MTU MZIMA ANALIA MBELE ZA WATU UJUE KUNA JAMBO"Next time be mature and dont ask that teens question dude!!!
Huyo jamaa nn nadhani ni stress za boks na mipombe ya ghetto hiyo. siyo kosa lake.
Ukiangalia post #26 utajua tu kuwa huyu mtu ana matatizo aidha ni kwa leo tu au huenda ndivyo alivyo siku zote.
 
Hakukuwa na cha mungu wala mjomba'ake mungu.

The truth of the matter is that was just a frivolous lawsuit and I'm kinda surprised it even made it that far, to be honest with you.
I Believe in God,your statement sound like a non believer so I cant argue with your comment, but of what your saying frivolous Lawsuit TL was the victim that's why we are concerned!!!
 
Hongera kaka Lisu mpaka natamani hapa ningejivua gamba kwa kutumia jina langu halisi, wewe ni symbol ya ushindi na aina ya vijana tunaowataka sio wakina January makamba wanaotumia ujana kuiba kama baba zao, tunasubiri kwa hamu kupata repoti ya ununuzi wa mafuta mazito ya kufua umeme. Sasa back to the issue, sisi wengine huku tulipata bahati mbaya ya kuwa na hicho kituko kinachoitwa Njau, kwanza haikuniingia kabisa kwamba ndio aliyekua analalamikia ushindi wa Lisu, alishindwa hata kabla ya kuanza mchakato, msomi mzima hajua mpaka leo kwamba siasa za sasa ni harakati? hajafanya lolote kwa yoyote jamaa very selfish, hana leadership quality hata za kuongoza nyumba yake, arrogant wa hali ya juu, hata majirani zake hana habari nao kusalimia tu ni kazi kwake, alileta vurugu kubwa DSE mpaka board chairman wake Mr Maganga akajiuzuli lakini kwa kiburi cha wakina lowasa huyu bwana akang'ang'ania, hata pamoja na kubebwa na wakina maghji washenzi wenzake pia ilibidi atoke, mara kaanzisha baa yeye mwenyewe tena anapiga wateja wake waliolewea kwake kisa wanampigia kelele baada ya kulewa, baa pia ikamshinda, hivi sasa tangu ashindwe ubunge kamnunia kila mtu including sisi tuliosoma nae, hata mkikutana nae anajifanya kupepesa macho kama vile hajawaona, wasingida hongerani huyu jamaa aende kumpa ushauri shemeji yake Lowasa sisi hatutaki hata kumsikia. Atakula jeuri yake, tunamshukuru jaji pia na mungu amefanya tena, hivi leo msomi mzima unanganganiana na magamba kwa wananchi waliokwisha kukukataa, nasikia katumia hela nyingi sana ndio anataka kwenda bungeni kuingizwa kwenye kamati za kutuibia. haha hahah imekula kwake, mungu ibariki Tanzania
 
Hivi bado hamna imani na mahakama? Huyu jamaa haki yake alie, alikua apoteze ulaji mzuri sana.
 
kweli posho ya kukaa kitako tamu,zitto kabwe sijui kapata wapi ujasiri wa kuikataa ile posho ya bure aisee,kilio cha mheshimiwa hapo juu kimenikumbusha wimbo wa msondo ngoma.msondo ngoma waliwahi kuimba kuimba enzi za TX MOSHI WILLIAM (RIP BROTHER)....Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo,mtu mzima halii bure bure tu
 
Baada ya uamuzi wa kijinga na kishabiki wa kule Arusha ambao ulifanywa na Jaji yule ki CCM walio bakia na wenye busara zao sasa wanatumia vyema elimu yao na mamlaka yao.Uamuzi wa Lema umepeleka pia ujumbe mzito mno kwa CCM na sasa waliobakia wamejifunza na mbaya zaidi hata wakiita uchaguzi leo CCM itaanguka na labda watakata tena rufaa .Jaji wa kesi ya Lema hana amani wala raha na chochote alicho kipewa maana haki hii hucheleweshwa tu na huwezi imaliza kwa wenye nayo .
kwa hiyo na huu umefanywa na jaji husika ki chadema au?

msisahau kwamba sheria ni msumeno lakini,haukati upande mmoja.
 
Back
Top Bottom