Hukumu ya kwanza ya kesi za EPA

Kama kawaida ya bongo, kesi, imehairishwa Kama mdau hapo juu alivyosema, eti kisa hakimu kasafiri kikazi, hii ndo bongoooooooo
 
.............Katika kile kinachoonekana kama kiini macho,ile hukumu ya kwanza ya uizi wa mabilioni yanayokadiriwa kati ya 1.8 bn katika akaunti ya nje aka EPA inayowahusu Rajabu Maranda na ndugu yake Farijali Hussein imeahairishwa mpaka mei 21 mwaka huu..sababu zilizotolewa ni kuwa mahakimu waliopaswa kusoma hukumu hiyo wamesafiri nje ya DSM kikazi.....je hapa sio kuna uchakachuaji wa hukumu kweli?

Source: Channel Ten News Bulletin
 
Kama kawaida ya bongo, kesi, imehairishwa Kama mdau hapo juu alivyosema, eti kisa hakimu kasafiri kikazi, hii ndo bongoooooooo

Duh! Ina maana kusoma hukumu kwenye hii kesi ilikuwa sio kazi ya huyo hakimu? Sababu nyingine bwana. Bora hata wangesema amealikwa kwenye Royal Wedding
 
hebu nijuze kwann wameahirisha???

Hao wanaogopa reaction ya wananchi sababu jamaa wamechomoka na pia sasa hivi kama mmenote kuna kampaini kubwa ya kuuza muswada wa katiba mpya ambao wanasema wanasiasa-CDM waliupotosha and so wananchi hawakuelewa! So wapisha kipindi hiki wawapumbaze wananchi then wasome kesi!

Hakuna kitu hapo ma.vi matupu!
 
Wameenda nje ya dsm kikazi kwani kusoma hiyo hukumu haikuwa kazi yao?
Au kulikuwa na kazi zingine za maana wakaamua kuacha hizi za vijisenti?
 
Wameenda nje ya dsm kikazi kwani kusoma hiyo hukumu haikuwa kazi yao?
Au kulikuwa na kazi zingine za maana wakaamua kuacha hizi za vijisenti?

Swali lako ni la msingi. Huu nao ni ufisadi wa muda ambao nao ni mbaya kama ulivyo wa EPA.
 
Huo ni usanii tu.. Nataka nisikie mramba, rostam, chenge, manji, njake, yona, ndiyo nitajua kuwa serekali imelivalia njuga suala hili..
 
Back
Top Bottom