Wana JF ninapatwa na kigugumizi, hukumu ya kesi ya uchaguzi IGUNGA iliyopangwa tarehe 20 August 2012, mbona tarehe hiyo itakuwa siku ya IDD? au vipi mimi nilinukuu visivyo? Anayeelewa anijuze na mimi, ninachofahamu waziri Magufuri aliingia mitini kutowa ushahidi.