Vp huko hukumu bado cz hv sasa ni saa 9 mchana......Pls tupe updated news kwa kinachoendelea huko Biharamulo....!!!
mahakama inamaliza kazi saa ngapi! Au biharamulo wapo latitude nyingine sawa na masaa ya Hongkong?
Jaji ndiyo anaingia sasa,kaeni mkao wa kula.
Kesi Imeahirishwa kutoka saa 7 : 00 hadi saa 9 :00 sijui kuna mpango gani ilikuwa saa 5 ikawa saa7 na sasa naambiwa ni saa 9!!!
Jaji ndiyo anaingia sasa,kaeni mkao wa kula.
Jaji ndiyo anaingia sasa,kaeni mkao wa kula.
My take: Baada ya Sumbawanga imebidi jaji abadilishe hukumu, ndo maana ameongezewa muda aweze kukamilisha
hukumu inachapwa.
Vp huko hukumu bado cz hv sasa ni saa 9 mchana......Pls tupe updated news kwa kinachoendelea huko Biharamulo....!!!
Nimefanikiwa kuongea kwa simu na ndugu yangu aliyepo maeneo ya kortini, amesema wameambiwa kuwa muda umesogezwa mbele hadi saa 10 jioni ndipo hukumu itaanza kusomwa. Hana details zaidi. Lets wait.
Haiwezekani ikawa hakuna jf members wenye access ya mtandao nafikiri hiki kimya kina kishindo wakuu!*