Hatma ya Tundu Lisu kuendelea au kutoendelea kuwa Mbunge wa Singida Mashariki ipo mikononi mwa Jaji Moses Mzuna. Baada ya kusikiliza pande zote za mtoa mashtaka na ule upande wa ushahidi, Jaji ametangaza siku ya hukumu itakuwa tarehe 27.04.2012.
Nawasilisha kutoka hapa Singida.
Nawasilisha kutoka hapa Singida.