CHIHAYA Senior Member Mar 12, 2012 102 25 Apr 27, 2012 #81 Ukapimwe na ukigundulika ufungwe mikono na miguu upelekwe Dodoma Milembe
D davidie JF-Expert Member Oct 10, 2011 329 49 Apr 27, 2012 #83 kichefuchefu cha mimba changa? hata mimi nikisikia ccm nahisi dalili zote za kuibiwa na kudanganywa.
William Mshumbusi JF-Expert Member Mar 27, 2012 1,657 2,252 Apr 28, 2012 #84 Pia naomba kujua pia na hukumu za SEGEREA, na kwingineko
G Godwine JF-Expert Member Jan 15, 2010 1,371 281 Apr 28, 2012 #85 ​sumbawanga tarehe 30 mwezi huu.....segerea tarehe 2 mwezi ujao
K Kiboko Yenu JF-Expert Member Feb 12, 2012 311 65 Apr 28, 2012 #86 kwan huna ndugu huko uwapgie simu?
M Mnyonge Namba1 JF-Expert Member Jan 27, 2012 402 81 Apr 28, 2012 #87 Na hukumu ya Kumpinga Mnyika itatolewa lini?.
Lasikoki JF-Expert Member Jan 10, 2010 640 118 Apr 28, 2012 #88 Kiboko Yenu said: kwan huna ndugu huko uwapgie simu? Click to expand... Mhh huyu nae! Khaa mradi umepost siyo? Kama huna jibu subiri watakuja wenye majibu. Nyamb***f kabisa
Kiboko Yenu said: kwan huna ndugu huko uwapgie simu? Click to expand... Mhh huyu nae! Khaa mradi umepost siyo? Kama huna jibu subiri watakuja wenye majibu. Nyamb***f kabisa
Asango JF-Expert Member Mar 24, 2011 234 24 Apr 28, 2012 #90 siamini km ni wasomi wanampa mwenzao majibu ya namna hii.km huna majibu ya swali lake kaa kimya sio lazima uchangie
siamini km ni wasomi wanampa mwenzao majibu ya namna hii.km huna majibu ya swali lake kaa kimya sio lazima uchangie