Hukumu ya kesi jimbo la Kasulu; Agripina (NCCR) Ashinda

hongera zake mama Buyogera na pia hongera kwa Jaji Songoro nafahamu utendaji wake dhahiri na ni jirani yangu kabisa.
 
Naona mahakama zinajitahidi kuba-llance kesi ili wamtoe mnyika au opulukwa.
 
Kwa hiyo mahakama imethibitisha kuwa jamaa ni mchawi?
You'd conclude so hasa ukihusisha na hukumu iliyomvua ubunge Lema. Unless kila jaji awe anaamua anavyoona yeye na si kufuata matakwa ya kisheria.
 
hongera zake mama buyogera na pia hongera kwa jaji songoro nafahamu utendaji wake dhahiri na ni jirani yangu kabisa.

.... Upinzani tunaupenda lakini kuna watu wanapotosha wananchi, angekuwa kashinda wa ccm coment zote zingekuwa za matusi na kumtukana jaji aliehukumu kesi, ndo maana mimi sina chama labda katiba ipitishe mgombea binafsi ndo nitamuunga mkono.... Inakuaje jaji akitoa hukumu mpinzani akashinda ionekane ndo kasoma na aliyetoa hukumu ya ccm kushinda aonekane hajasoma?
 
Mahakama kuu kanda ya Magharibi leo imesoma hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili mbunge wa jimbo hilo Bi Agripina Buyogela (NCCR-MAGEUZI).
Kesi hiyo ilifunguliwa na mgombea ubunge jimbo hilo kwa tiketi ya CCM ndg. Daniel Nsanzugwanko ambaye pia alikuwa mbunge(2000-2010) kwa madai kuwa Bi Buyogela alimtuhumu jamaa kuwa ni mchawi na watu wasimchague na kwa kipindi alichokaa bungeni kwa miaka kumi hakuna alichowafanyia wananchi wa kasulu zaidi ya kuendeleza ushirikina wake.

Mara baada ya hukumu hiyo mgombea wa CCM amesema atakata rufaa.
 
CCM hawana shida na majimbo ambayo yapo remote area na hayana maslahi.
Wameling'ang'ania la segerea pamoja na ushahidi wote.
 
.... Upinzani tunaupenda lakini kuna watu wanapotosha wananchi, angekuwa kashinda wa ccm coment zote zingekuwa za matusi na kumtukana jaji aliehukumu kesi, ndo maana mimi sina chama labda katiba ipitishe mgombea binafsi ndo nitamuunga mkono.... Inakuaje jaji akitoa hukumu mpinzani akashinda ionekane ndo kasoma na aliyetoa hukumu ya ccm kushinda aonekane hajasoma?

we huna chama wakati wewe ni magamba?au unafkiri sisi hatujui kumsoma mtu! Acha umagamba njoo huku kwenye ukombozi halisi.
 
Poa tu, japo hiyo haina mvuto sana kwangu. Nasubiri hukumu ya jimbo la Ubungo ili nijue huyu Jaji kama atakuwa wa ukweli kama yule wa Singida.
 
Mahakama kuu kanda ya Magharibi leo imesoma hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili mbunge wa jimbo hilo Bi Agripina Buyogela (NCCR-MAGEUZI).
Kesi hiyo ilifunguliwa na mgombea ubunge jimbo hilo kwa tiketi ya CCM ndg. Daniel Nsanzugwanko ambaye pia alikuwa mbunge(2000-2010) kwa madai kuwa Bi Buyogela alimtuhumu jamaa kuwa ni mchawi na watu wasimchague na kwa kipindi alichokaa bungeni kwa miaka kumi hakuna alichowafanyia wananchi wa kasulu zaidi ya kuendeleza ushirikina wake.

Mara baada ya hukumu hiyo mgombea wa CCM amesema atakata rufaa.
Hongera Agripina ukweli kesi hiiilikuwa haina mashiko lakini pia jaji aliesikiliza kesi hii ni miongoni mwa majaji wachache waadilifu wenye kumuogopa mungu kwa wanaomjua jaji HAruna songoro watakubaliana nami.
 
CCM hawana shida na majimbo ambayo yapo remote area na hayana maslahi.
Wameling'ang'ania la segerea pamoja na ushahidi wote.

Mkuu Mungi siyo kwamba mahakama imetenda haki huko Kasulu?
 
Last edited by a moderator:
Hongera Agripina ukweli kesi hiiilikuwa haina mashiko lakini pia jaji aliesikiliza kesi hii ni miongoni mwa majaji wachache waadilifu wenye kumuogopa mungu kwa wanaomjua jaji HAruna songoro watakubaliana nami.

Mkuu Burigi huyu Jaji Haruna Songoro ana historia ya kuhukumu kesi gani? Najua alikuwa mwanasheria wa Sumatra kabla hajateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama kuu au ni mwingine?
 
Back
Top Bottom