Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nape hana ubavu huo labda afanye mazoezi tuu, Mkuu Ubungo ngoma nzito!!!!
Hata wakimleta mzee Msekwa msaidizi wa JK tutamgaragaza vby
Nape hana ubavu huo labda afanye mazoezi tuu, Mkuu Ubungo ngoma nzito!!!!
Alisikiliza rufaa ya Babu Seya ama?
Tiyari tumekwisha kufika mahakani watu ni wengi mno wa vyama vyote viwili yani ccm na chadema. Ulinzi upo kila kona ya mahakama jaji bado hajawasili. Endelea kuwa nimi kila kitu ukipate.
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
hukumu ya babu Seya ilikuwa sawa kabisa, na aliyeitupilia mbali rufaa ya hukumu hiyo ni Jaji Thomasi Mihayo..
Tiyari tumekwisha kufika mahakani watu ni wengi mno wa vyama vyote viwili yani ccm na chadema. Ulinzi upo kila kona ya mahakama jaji bado hajawasili. Endelea kuwa nimi kila kitu ukipate.
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
hata barcelona walijua wameshawafunga chelsea lakini mungu akawa upande wao,subiri jaji asome hiyo hukumu,ingawa hatuwezi kubadilisha alichokiandika!kwa hii kesi ilivyokaa inawezekana kabisa mnyika ikawa ndio mwisho wa ubunge wake
lakini tuombe mungu, tuwe na imani pia tutashinda
Tiyari tumekwisha kufika mahakani watu ni wengi mno wa vyama vyote viwili yani ccm na chadema. Ulinzi upo kila kona ya mahakama jaji bado hajawasili. Endelea kuwa nimi kila kitu ukipate.
Updates toka chumba cha mahakama hukumu imeahirishwa nafatilia tatizo nini. Stay tunned
John Mnyika
Nasikia adhana, Hayya alas-swalaah; naendelea na mkesha kama wa Loyola kupitia kurasa 111 za mwenendo wa kesi (court proceedings), mpaka sasa nimeandika kurasa 21 za mchango wangu kuhusu majumisho (final submission) kutoka katika rundo la rejea za hukumu mbalimbali zenye misingi muhimu ya kisheria (fundamental legal principles). Nikimaliza kesho namwachia wakili wetu aendelee kwa upande wake, tutakutana mahakamani kesho kutwa tarehe 4 Mei 2012. Tulitafuta kura pamoja, tukapiga kura pamoja, tukazilinda kura pamoja;, kwa pamoja tutaendelea kushinda. AMUA: Maslahi ya Umma Kwanza
Share · Yesterday at 4:18am ·
hukumu ya kesi ya mnyika imeahirishwa kwa sababu maalum, hii kesi inaonekana magamba wanataka kucheza rafu maana wiki iliyopita kesi iliahirishwa tena sababu jaji alikuwa amefiwa leo tena imeahirishwa kwa sababu maalumu, wakuu hapa kuna harufu ya kuchakachua