Yule jaji aliyetoa hukumu nasikia yupo India kapooza na ameshakua kichaa.
Hilo ni somo muhimu sana kwa wakina jaji Natalia Kimaro, Mbarouk Salim Mbarouk na Salum Massati kuwa Lema yupo pale kwa matakwa ya wananchi kwahiyo laana za wananchi huwa hazichelewi kupatiwa majibu na Mungu
Mkuu naunga mkono hoja ila Mbarouk 30% namwamini. Huyu yuko kwenye orodha ya Tundu Lissu.
Kwishnei, tutegemee nini tena kutoka kwenye hiyo diploma?
Hivi Lema akishinda rufaa baadaye CCM wakaipinga kwa kigezo cha jopo la majaji ku- include mtu ambaye si jaji itakuwaje? Technically huyu mzanzibar si jaji.
Hivi unaweza kukata rufa tena baada ya hii...?
Subirini atakavyoumbuliwa na rufaa yake angeenda zake tu Kaloleni kuuza mbege
hivi lema akishinda rufaa baadaye ccm wakaipinga kwa kigezo cha jopo la majaji ku- include mtu ambaye si jaji itakuwaje? Technically huyu mzanzibar si jaji.
Asante sana kwa update hii muhimu!