Hukumu Kesi ya Uchaguzi Njombe

ninamaanisha jimbo la Thomas Nyimbo aliloporwa na jah People
Kesi alifungua Thomas Nyimbo ni tofauti na nyingine... Yeye aliamua kukata rufaa kwa wananchi, kinachoendelea kule ni maangamizi
 

Attachments

  • PICT0413.JPG
    PICT0413.JPG
    792.1 KB · Views: 76
Nakubaliana nanyi, Nyimbo ni jembe; CDM wakijipanga vizuri 2015 lile ni miongoni mwa majimbo watakayoshinda. Na la Jah People pia wanaweza kushinda - napo kuna mwamko mkubwa sana wa kudai mabadiliko.

Nyimbo alifanya kazi kubwa sana, anastahili kuungwa mkono katika mapambano. Hujuma zilikuwa nyingi na za wazi sana, Usalama wa Taifa walitumika kikamilifu pia, kwa kifupi CCM walishtuka na walikuwa wanamwogopa sana. Cha kushangaza kule jimboni ni kwamba hata wanachama na baadhi ya viongozi wa matawi na kata wa CCM walikuwa wakimuunga mkono Nyimbo, wengine hadharani kabisa. Nilipata fursa ya kuwaona baadhi yao (viongozi wa CCM) katika mikutano ya kampeni ya CDM wakipigia kampeni wagombea wa CDM, nimesahau baadhi ya majina ya maeneo ya Njombe kaskazini na magharibi ila kama sikosei ni Lupembe, Ilembula, Ikuna, Makambako, etc.

Sina taarifa za karibu sana kuhusu kinachoendelea huko majimboni lakini nashauri CDM kujikita kufungua matawi na kutoa elimu ya uraia ktk maeneo hayo. Kingine cha muhimu zaidi ni kuhakikisha kuna uongozi imara wa CDM wilayani, pamoja na kuipenda CDM naomba nikiri kwamba viongozi waliokuwepo 2010 walikuwa very incompetent kielimu, kujieleza, kiuongozi, etc walikuwa wanapwaya sana.
 
Back
Top Bottom