Hukumu itasomwa saa nane napiga jaramba nitakuwa nawajulisha live
Hukumu itasomwa saa nane napiga jaramba nitakuwa nawajulisha live
kama imeshindikana kusomwa toa taarifa sio unakaa kimya wakati unajua wadau tumekaa mkao wa kula...au wamekushitukia nini wamenyang'ang'anya kimchina chako.?
Kama mtu ulikua huna cha kutujuza, ulikua huitaji kufanya ulichofanya, hujui ni kwa kiasi gani umetutia hasara
du! huyu aliyeleta huu uzi anatia hasira sana,
Huyo Rais wetu kiboko sana kila kitu anachukulia kawaida, Wafanyakazi aliwajibu hivi hivi siku ya uchaguzi akawalamba miguu na Walimu komaeni atakuja kuwaomba msamahaa
saa kumi kasoro mkuu,vp???
Inaelekea mleta thread hajui nini maana 'live'saa kumi kasoro mkuu,vp???
Mkuu saa nane tayari vp..!!?
:ranger: