Hukumu Kesi ya Mgomo wa Walimu: Mgomo ni batili

Nakumbuka mgomo wa kwanza wa walimu ulipigiliwa msumari na kuamuliwa na mahakama wakati wa usiku,na kwa mara ya kwanza Jaji aliyetoa hukumu hiyo alipigwa picha na vyombo vya habari.Kitu ambacho ni kinyume na sheria ya media kupigwa picha jaji au hakimu wakati anasikiliza au kutoa hukumu, Wakati huohuo mahakama haifanyi kazi usiku na hata siku za mwisho wa juma kama jumamosi.Sasa inakuwaje leo, hukumu inatolewa na kusema ati serikali haifanyi kazi wikendi, wakati wao walifanya hivyo
 
Kuna mwanajanvi alisema watawala wa nchi hii hawatabalika mitazamo yao juu ya umuhimu wa wale wanaowatawala kwa migomo na maandamano, hivyo inahitajika njia mbadala ya kubadilisha mitazamo yao hasi.

Hivyo wanajamvi tuanzie hapo kutafuta/kubuni njia mbadala za kuwa weka sawa watawala hawa.
 
Cha msingi ni kukata rufaa huku mgomo ukiendelea wasituletee uhuni hapa!
 
Nilipendekeza,
Ile ya Ku occupy eneo kwa masaa,
Wote mnakubalina saa,
ikifika ku occupy Morogoro Road masaa 4.
Ku occupy Down Town masaa 6
Ku occupy Samora Av na Sokoine Rd masaaa 5
Zaidi ni kuitisha mgomo wa nguvu wa wafanyakazi,
wote chi nzima,
kisa Kuzuiliwa kuchukua Mafao ukiacha kazi,
Sheria ya Kikaburu.

Kuna mwanajanvi alisema watawala wa nchi hii hawatabalika mitazamo yao juu ya umuhimu wa wale wanaowatawala kwa migomo na maandamano, hivyo inahitajika njia mbadala ya kubadilisha mitazamo yao hasi.

Hivyo wanajamvi tuanzie hapo kutafuta/kubuni njia mbadala za kuwa weka sawa watawala hawa.
 
Hiki ni kiini macho cha katiba-ukifuatilia season zote za movie hii utakubali kuwa hizi ni case study nzuri kwa wasomi wetu kama waponda kufikiri na kutafakari juu ya dhana ya mihimili mitatu
 
Wadau nisaidieni kwa kuwa hukumu zimefanana na maswali ni mengi>
1.je mahakama haijaingiliwa?
2.je mahakama haijamwiga rais wetu?
3.je hawajapigiana simu?
4.kuna kifungu kinachotamka kuwa notisi lazima iangukie siku za kazi?
5.je sasa haijafika wakati hata wabunge ambao ni wawakilishi wa wanachi kama alivyo rais kuyatolea maamuzi mambo yaliyopo mahakamani?


raisi akishatamka ni sheria na hukumu.....acha habari zako za kichochezi wewe...
 
Mkuu sijui walimu wafanyeje,
Jaji anayebatilisha mgomo kateuliwa na Kikwete,
Jaji wa CMA, aliyesimamia mgomo, kateuliwa na Kikwete,
waziri wa Elimu naye kateuliwa na Rais Jakaya Kikwete pia,
Bungeni, wanawajibika kwa Kikwete kama mwenyekiti wa CCM.
Tunahitaji katiba mpya, no way out ili kupisha vurugu, la sivyo, naona vurugu


Ndugu inasemekana hata kwenye maoni ya katiba mpya watu wakitoa maoni yao juu ya Rais kupunguziwa madaraka wanafokewa,je tutapata hiyo katiba tunayoitaka? Source ITV
 
Back
Top Bottom