MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Niko mahakamani tunasubiri hukumu itolewe binafsi nitarudi hapa kama tutakua tumetendewa haki vinginevyo najua sitaweza kurudi hapa coz kama sitakua polis nitakua hosptali tumejiandaa vyakutosha kuona mb we2 haonewi
Mkuu unasema kweli kwani na kesi yenyewe imekuja wakati mzuri wa kukumbuka kusulubiwa kwa Yesu kwa ajili ya ulimwengu hivyo itakuwa wakati muafaka na sisi kujitoa sadaka kwa ajili ya watoto wetu na kizazi kijacho. Nakupongeza