hukumu kesi ya Chenge

Ametozwa faini ya laki saba na ametoa papo hapo!!!! Hivyo yuko huru kuua tena na kuendesha gari bila insurance. Shame on Tzs laws/procedures.
 
Hiyo KALI.......!!!!!! mwanangu namimi cjui nikaue nione nitatozwa Tsh ngapi....!???

Kweli watanzania tumeishiwa Mitazamo hata matendo yetu,,, Kwishney
 
Bongo kuna wengine sheria haiwabani, lkn sheria inasemaje kwa dereva anayesababisha kifo kwa kumgonga mtu ? Naomba ufafanuzi kwa wanaojua sheria.
 
Bongo kuna wengine sheria haiwabani, lkn sheria inasemaje kwa dereva anayesababisha kifo kwa kumgonga mtu ? Naomba ufafanuzi kwa wanaojua sheria.
Sheria inayohusu kosa la kuendesha gari na kumgonga mtu na kufa ni kosa linalohusu makosa ya barabarani au traffic case. Sheria zilizopo kwa kesi za traffic ni za kichekesho saana, unaambiwa adhabu yake kwa kosa la kugonga mtu na kuua haizidi faini ya shilingi laki moja au kwenda jela miaka miwili. Chenge kutozwa faini ya laki saba bado inaonesha kama hakimu kamkomoa vile. Kwa sheria kama zilivyo kwenye vitabu adhabu ni ndogo saaana. Ndio maana madereva wetu wa daladala hawajali saana kufanya makosa hata kugonga watu na kuwaua, sababu adhabu zake nyingi ni za faini na ukikosa faini ndio unafungwa. Unless kama sheria ingebadilika na adhabu kuwa ya kifungo tu bila faini labda mauaji ya kugongwa na magari barabarani yangepungua. So kwa Chenge kulipa faini tusimlaumu hakimu na wala hakuna mchezo mchafu wowote hapo bali ni sheria zetu ziko weak saana kwa makosa ya barabarani.
 
Babayah67 asante kwa kunijuza, kumbe waungwana wengine wanataka mtu afungwe hata kama sheria haisemi hivyo.
 
Ametozwa faini ya laki saba na ametoa papo hapo!!!! Hivyo yuko huru kuua tena na kuendesha gari bila insurance. Shame on Tzs laws/procedures.
Hapo ndiyo utaona umuhimu wa kubadilisha sheria zetu!!
 
Hayo mnayoyasema ni ya kweli kwamba katozwa faini ya sh. Laki saba? Maana mini sina habari zozote. Lakini kama sheria ndivyo inavyosema hakuna mjadara labda mjadara uwe ni kubadiri sheria ili wahusika waswekwe rumande maana hata faini ikiongezwa sidhan kama thamani ya pesa inaweza kulinganishwa na uhai wa mtu.
 
Damu ya mtu haipotei hivi hivi.
Damu ya hao marehemu itamhukumu Chenge!
... hiyo imekaa zaidi ki imani kuliko kisheria. Kisheria Chenge anahatia na kapigwa faini na kwa kuwa anajua fika sheria ilivyo akajiandaa kabisa na pesa ya kulipa, maana kama asingekuwa na pesa ya kulipa angepelekwa jela. Hivyo hata yeyote mwingine ikitokea una kesi na leo ndio siku ya hukumu basi jiandae hasa kipesa ya kutosha ili ukiambiwa ulipe faini basi hapohapo unalipa, maana ukichelewa tu kulipa kaka/dada unapelekwa lupango!!!
 
... hiyo imekaa zaidi ki imani kuliko kisheria. Kisheria Chenge anahatia na kapigwa faini na kwa kuwa anajua fika sheria ilivyo akajiandaa kabisa na pesa ya kulipa, maana kama asingekuwa na pesa ya kulipa angepelekwa jela. Hivyo hata yeyote mwingine ikitokea una kesi na leo ndio siku ya hukumu basi jiandae hasa kipesa ya kutosha ili ukiambiwa ulipe faini basi hapohapo unalipa, maana ukichelewa tu kulipa kaka/dada unapelekwa lupango!!!

Give me a break. Lazima alijua hukumu ya kesi na aliambiwa atatozwa faini hiyo si kwa kuwa anajua sheria tu. He knew he can buy his freedom. Kuna justice ya mahakama na ya Mungu, sasa tumuache Mungu afanye kazi yake.

So tusubiri keshi nyingine kama hizo tuone kama hukumu zitakuwa hivyo....
 
Ok, msaada tutani:

Hivi three yrs in Jail is equivalent to 700,000Ths??
 
Damu ya mtu haipotei hivi hivi.
Damu ya hao marehemu itamhukumu Chenge!

Mara nyingi ajali hutokea bila kukusudia, hata hivyo kama kuna uzembe wa hali ya juu uliothibitishwa au nia ya kukusudia kugonga kabla ya ajali hilo ni swala lingine lenye kuhitaji adhabu kali zaidi.
Adhabu aliyopewa inamfanya yeye pamoja na wengine wawe makini wanapoendesha magari au vyombo vingine na haikumaanisha kulipa uhai uliopotea.
 
But we have not talked about driving vehicle without insurance. Was he convicted as well, because I can see only convicted with reckless driving and causing death! Vipi suala la bima ni hiyohiyo laki 7!! Lazima to review sheria zetu
 
hapo ndo INAPOKUJA UMUHIMU WA KATIBA MPYA,mtu kafanya kosa kubwa lakini hukumu ya keshi haiendani na kosa.
 
Wanajamvi naomba mwenye taarifa kuhusu kesi ya Chenge aniarifu


Hivi kama alishindwa kutiwa hatiani kuhusiana na rada na kuwa na vijisenti vyenye utata nje bado kuna watu walikuwa hawajui nini kitatokea katika hii kesi.

Kifupi hii nchii yetu/yao ina sheria mbili kulingana na class/kundi ulilopo. Ca muhimu fanya analysis ujue uko kundi gani

Cheguevarra said:
But we have not talked about driving vehicle without insurance. Was he convicted as well, because I can see only convicted with reckless driving and causing death! Vipi suala la bima ni hiyohiyo laki 7!! Lazima to review sheria zetu

Nakubaliana na wewe Sheria zinahitaji review lakini tatizo kubwa la nchi yetu sio kutokuwepo sheria tatizo ni kuzitii na kuzifuata. Hata wanaotoa hukumu wanaangalia kwanza mtu huyu ni nani ndio watoe hukumu. Tatizo tulilonanlo ni la kimfumo zaidi na si sheria.

Tunawez kuwa na sheria nzuri tu lakini kwa mfumo tulionao kazi tunayo
 
Ndo maana nilikimbia uhakimu TZ manake unashinikizwa kutoa hukumu ambayo wewe mwenyewe dhamira inakusuta. Huyu hakimu maskini atakuwa alipewa maelekezo na mafisadi nini cha kufanya na chenge hiyo huku aliijua kabla. Yaani TZ laws ni kwa ajili ya wanyonge tu. Yaani Chenge uue, uharibu bajaji, uendeshe gari usiku umelewa tena bila insurance hukumu yake unalipa laki saba????
 
hapo nimekuelewa sana mkuu, ndio maana tunahitaji KATIBA MPYA?
Sheria inayohusu kosa la kuendesha gari na kumgonga mtu na kufa ni kosa linalohusu makosa ya barabarani au traffic case. Sheria zilizopo kwa kesi za traffic ni za kichekesho saana, unaambiwa adhabu yake kwa kosa la kugonga mtu na kuua haizidi faini ya shilingi laki moja au kwenda jela miaka miwili. Chenge kutozwa faini ya laki saba bado inaonesha kama hakimu kamkomoa vile. Kwa sheria kama zilivyo kwenye vitabu adhabu ni ndogo saaana. Ndio maana madereva wetu wa daladala hawajali saana kufanya makosa hata kugonga watu na kuwaua, sababu adhabu zake nyingi ni za faini na ukikosa faini ndio unafungwa. Unless kama sheria ingebadilika na adhabu kuwa ya kifungo tu bila faini labda mauaji ya kugongwa na magari barabarani yangepungua. So kwa Chenge kulipa faini tusimlaumu hakimu na wala hakuna mchezo mchafu wowote hapo bali ni sheria zetu ziko weak saana kwa makosa ya barabarani.
 
Back
Top Bottom