JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,509
- 7,532
jana nilisikia tangazo moja la burudani katika moja ya club hapa dsm redioni ambapo msoma tangazo anasema ''njoo ulione lile dume-dada likiungana na wadada wa khanga moko...'' hiyo ikiwa ni baada ya kutaja wasanii wengine. mimi naona hii haiko poa ukizingatia kuwa redio inasikilizwa na watu wengi. inaweza kupelekea hii hali kuonekana ya kawaida ingawa wapo watu wanaopenda kwenda kuona vitu hivyo lakini si vizuri kuwashawishi kwa kutumia matangazo redioni!