Hujuma za star tv!!

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
leo start tv wamepotezea taarifa inayohusu kampeni za chadema ze udiwani kata ya kirumba mwanza baada ya kuona maelfu ya watu walioudhuria tofauti na mkutano wa ccm ambao ulikuwa na watu wachache ukilinganisha na wa chadema licha ya waziri ngereja kucheza kwaito jukwaani.
 
leo start tv wamepotezea taarifa inayohusu kampeni za chadema ze udiwani kata ya kirumba mwanza baada ya kuona maelfu ya watu walioudhuria tofauti na mkutano wa ccm ambao ulikuwa na watu wachache ukilinganisha na wa chadema licha ya waziri ngereja kucheza kwaito jukwaani.



hahaha.... we mkali wewe.
 
leo start tv wamepotezea taarifa inayohusu kampeni za chadema ze udiwani kata ya kirumba mwanza baada ya kuona maelfu ya watu walioudhuria tofauti na mkutano wa ccm ambao ulikuwa na watu wachache ukilinganisha na wa chadema licha ya waziri ngereja kucheza kwaito jukwaani.

Hapa ndipo umuhimu wa kuanzisha CDM TV and Radio unapokuja. Sijui viongozi wanalifikiriaje hili? Kama Chama hakina bajeti ya hili, waseme tupitishe mchango, tunashindwa nini?????
 
kila kitu kina mwisho hapa diniani, kuchagua ccm yakupasa uwe umekunywa maji ya maiti!
 
leo start tv wamepotezea taarifa inayohusu kampeni za chadema ze udiwani kata ya kirumba mwanza baada ya kuona maelfu ya watu walioudhuria tofauti na mkutano wa ccm ambao ulikuwa na watu wachache ukilinganisha na wa chadema licha ya waziri ngereja kucheza kwaito jukwaani.

Toeni hela mrushiwe habari zenu acheni ubahili si mna hela za sadaka nyie za naura spring ziko wapi?
 
Back
Top Bottom