HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Hapa siwezi kumwita Maalim Seif ni shujaa na kumlinganisha na Mandela. Mandela alikuwa tayari hata kufa ilikuhakikisha waafrika kusini wanaondokana na utawala dhalimu wa kibaguzi. Watu walikuwa tayari kufa kwa kupiginia haki. Sasa kama mtu ananyamaza ili yaishe huyu ni coward leader na hajawatendea haki wapiga kura wake. Basi angewaeleza ukweli kwamba kura za CUF ni hizi hapa na za CCM ni hizi hapa, lakini kwa kuwa CCM hawataki kuondoka madarakani wameamua kujitangaza washindi, then wapiga kura wenyewe wangejua nini cha kufanya.