Elections 2010 Hujuma kuwanyima Chadema kuwa Chama kikuu cha Upinzani Bungeni

No Lyatonga ameenda kuboresha afya we huoni alivyochakachuka mwenyewe? hana hata nguvu sasa hivi ila akiingia mjengoni atapata hata hela ya supu na kisusio.
 
No Lyatonga ameenda kuboresha afya we huoni alivyochakachuka mwenyewe? hana hata nguvu sasa hivi ila akiingia mjengoni atapata hata hela ya supu na kisusio.

Kwa Afya yake ya sasa nafikiri Vunjo watafanya uchaguzi mdogo kabla ya 2013
 
Inasikitisha sana kuona Great Thinkers wa JF wanavyoingizwa "mjini" kirahisi na kuanza kukubali kwamba CHADEMA KIJIANDAE KUWA MPINZANI MKUU BUNGENI wakati hata kura za Uraisi hazijatangazwa zote. Kwanini watanzania tuna tabia ya kukubali haraka hivyo bila kuhoji the motive behind this very obvious CCM move??!! Kwa ufupi ni kwamba nikisoma post nyingi hapa naona wengi mmeshakubali tayari kwamba Slaa kashindwa uchaguzi, swali ni Je mnaweza kuthibitisha kwamba ameshindwa? You've easily fallen into a CCM trap going by the name "wape matokeo ya maeneo tuliyoshinda kwanza ili wakate tamaa halafu tuwape za uso kwenye maeneo waliyoshinda wao kwa kuchakachua, hawataweza kuhoji wajinga hawa maana tayari wameshaona trend ilivyo". Poor Tanzanians, you better wake up before it's too late.
 
Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara, n.k

kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.

kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.


Wala tusikimbilie swala la kua chama kikuu cha upinzani, tunachojivunia Chadema ni kua na wabunge makini na wanaoweza kuipeleka nchi inapotakiwa iwe. Hao wabunge wengi wa CUF wametoka Pemba hilo halina ubishi, na hawakua hata na upinzani kwani wao walipita tuu moja kwa moja, hilo ni tatizo kubwa sana, kwani umakini wa kuwachagua wabunge wazuri ulikua mdogo kwani walijua hawana mshindani kwa hiyo hata kumuweka mtu makini na ambaye kweli atakua lulu kwa bunge letu hawakujali. Ila kwa vile Chadema ni lazima tupigane ipasavyo kupata nafasi, na kwa kuzingatia ni chama makini, tuliweka watu makini ambao kweli hakuna anaeweza kuhoji kuhusu uwezo wao! Tusichonge sana, tuone bunge likianza ndio utajua kwa nini tunasema mbunge mmoja wa chadema ni sawa na wabunge 50 wa CCM.
 
We nawe kwa akili yako ya kawaida unategemea majimbo gani huku bara Lipumba atamzidi Slaa, hapa tunaongelea upinzani mkali ni kati ya Kikwete na Slaa na si Lipumba na Slaa.



Mada iliyopo hapa ni kuunda serikali ya Kambi ya Upinzani, siyo kuunda serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tz.
 
Pemba pia kuna majimbo ya cuf ambayo bado, ni yapi hayo?
pemba kuna majimbo 2 wetemjini na junguni ambayo yote niya cuf,na unguja lipo 1 nimelisahau jina ila hatahilo ningome kuu ya cuf, cuf ataongeza majimbo3 atakua na 27.
 
Kwa hiyo uko tayari kuona ccm wanatimiza lengo lao la kuifanya cuf isimamie hoja za upinzani bungeni??? For your information mimi nafuata nyayo za baregu na marando ambao hawajawahi kuwa wanachama au mashabiki wa ccm maisha yao yote!!! Nachukia sana mafisadi, naichukia sana ccm. CUF hawana msimamo wala hawatishi bungeni
wacha umbumbumbu wa kisiasa wewe kama hujui siasa kaapembeni,cuf inauzoefu wa siasa kwa miaka24 chadema yako unayoipenda imevuma miaka2 nahawana lolote zaid yaukanda nauchaga kwanza mengine badae,cuf itakua namakamo warais namawazir na manaib wazir namakatibu wakuu wawizara huko zenj nahapa bara itakua kiongoz wa upinzani bungen,kama una wivu na cuf nenda kajinyonge,ccm wenyewe wanaitambua cuf inatisha,hata makamba kabla ya uchaguz alisema wanaiogopa cuf na lipumba ndio anawatisha,yule mzee anajuasiasa sio wewe unaeropoka tu
 
CUF +NCCR +TLP +UDP wataungana kuunda serikali ya upinzani bungeni.

Wewe ndiyo mbumbumbu kweli kweli -- trade mark ya wafuasi wa CCM. Pole kwa shule za kata zisizokuwa na walimu -- ndiyo matokeo yake mwanakwetu!

Chama (siyo vyama) chenye Wabunge wengi (zaidi ya asilimia 12 ya Wabunge wote) Bungeni ndiyo hupewa chance ya kuunda Kambi ya Upinzani Bungeni. Na Wabunge hawa ni wale wa majimboni, na wa viti maalum. Wabunge wa viti maalum wanapatikana kwa uwiano wa mgombea wa chama gani cha upinzani kilizoa kura nyingi za urais katika uchaguzi husika.

Ukizingatia hili utaona wazi kwamba baada ya kura zote kuhesabiwa, Chadema ndiyo kitaibuka na Wabunge wengi kuliko vyama vingine vya upinzani.
 
Back
Top Bottom