Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Katiba mbovu ilizaa sheria mbovu. Mchakato mbovu utazaa katiba mbovu.
Mimi nilisusia mchakato huu wa kisanii juu ya katiba mpya. Tutaandika nyingine baada ya 2015.
CCM kitarudisha mali zote za umma kilichojimilikisha kiharamu kama majengo, viwanja nk nasi tutaziweka katika kapu/fuko la Taifa. Pia tutapitia na kuchunguza na kuhakiki mahesabu ya hazina, wizara na halmashauri zote ktk kipindi miaka mitano nyuma i.e. 2010 foward;
Kwa wajinga kama Nape ambao wamejaa CCM wanadhani wanachukua chao mapema. Watarudisha na riba. Tunataka haki na uwajibikaji wa hali ya juu, na hizi ghiliba na wizi unaohalalishwa na Pinda utakuja watokea puani.
There's no peace for the wicked!!!
Mimi nilisusia mchakato huu wa kisanii juu ya katiba mpya. Tutaandika nyingine baada ya 2015.
CCM kitarudisha mali zote za umma kilichojimilikisha kiharamu kama majengo, viwanja nk nasi tutaziweka katika kapu/fuko la Taifa. Pia tutapitia na kuchunguza na kuhakiki mahesabu ya hazina, wizara na halmashauri zote ktk kipindi miaka mitano nyuma i.e. 2010 foward;
Kwa wajinga kama Nape ambao wamejaa CCM wanadhani wanachukua chao mapema. Watarudisha na riba. Tunataka haki na uwajibikaji wa hali ya juu, na hizi ghiliba na wizi unaohalalishwa na Pinda utakuja watokea puani.
There's no peace for the wicked!!!