Samahani kwa kukukwaza mkuu. Ila nilishasema hapo awali kuwa "...Ni katika kubadilishana mawazo juu ya haya mahusiano.."Haya mambo yakutojua hata nini cha kufanya katika privacy zenu na kuomba ushauri duh! Sasa wakikuambia umerogwa na wewe utaamini.
Not my level!
ndivo kungwi wake alivomfundisha?
kifuatacho atakuambia uanze kuzivaa sasa...
tena zile bikini
acha ubwege wewe