Suwi hichi ni kiswahili fasaha kabisa cha pwani ya afrika mashariki unaulizwa 'unakalia wapi' ? wakimaanisha unaishi wapi, sasa labda hilo neno Kigogo ndio linaharibu maana.[/COLOR]Hahahahhahahahhh!! jamani humu mtu hata kama mtu una matatizo utayasahau tu.... mi nacheka saaaanaaa!!