King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,756
Huyu mkorogo umemuathiri ubongo
Kweli mkuu jamaa ubongo umeathirika kwa carolight.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mkorogo umemuathiri ubongo
Hii nimeiona imepostiwa na mwana CCM Mjumbe wa NEC mwenye dream za kuja kuwa kiongozi wa Nchi hii.
MWANDISHI ALIPEWA BOMU AKALIPUE??
(1)-MWANDISHI MWENZIE ASEMA marehemu alikuwa anasoma kitabu cha maadili ya waandishi kabla ya tukio jambo ambalo si kawaida,
(2)-Alionekana kuwa na wasiwasi na mgogoro wa nafsi kabla ya kwenda katika tukio.
(3)-Bila kujali vurugu wala bila hofu alikuwa anaelekea mahali polisi walipokusanyika.
(4)-Alipovamia kundi la polisi kabla hajafanya chochote polisi wakamuwahi wakawa wanamzuai.
(5)-Akawa analazimisha kwenda alipo mkuu wa kituo wa polisi OCS.
... (6)-Wakati polisi wanakabiliana nae akaangukia tumbo.
(7)-Mlipuko mkubwa ukasikika na kufumua utumbo na kujeruhi polisi kadhaa akiwemo mkuu wao.
(8)-Huenda alikuwa na bomu aliloficha ndani ya shati.
(9)-Hakudhamiria kujiua, huenda alitumwa kulidondosha katikati ya polisi.Lakini kwa bahati mbaya akadondoka,bomu likamlipukia kabla hajalitoa.
HUENDA ALITUMIWA, AKAWALIPUE POLIS
Ally Salum Hapi
MKT WA CCM (UDSM),MJUMBE WA BARAZA KUU LA SHIRIKISHO LA CCM MKOA WA DSM
University of Dar es Salaam
Class of 2007 · L.L.B. · Bachelor of Laws · Staying Focused
A graduate of LL.B(horns),University of Dar es salaam.
My Take:
Huyu na yeye anajiita ni Msomi.
msomi gani asiye uwezo wa kujenga hoja? Labda awe msomi wa chupi.
Msomi gani asiye uwezo wa kujenga hoja? Labda awe msomi wa chupi.
Hivi bomu la machozi linaweza kumsambaratisha binadamu?
Hivi bomu la machozi linaweza kumsambaratisha binadamu?
this is unbelievable.... If one ever contemplated killing, this is a good subject for the test, dogo huyu wa CCM anahitaji ulinzi kwani anacheza na sensitive matter in a a very light way!! asidhani kila kitu ni political debate
this is unbelievable.... If one ever contemplated killing, this is a good subject for the test, dogo huyu wa CCM anahitaji ulinzi kwani anacheza na sensitive matter in a a very light way!! asidhani kila kitu ni political debate