[h=5]Huduma za usafiri zimesimama mjini Songea kufuatia kukosekana kwa Petrol na Disel katika vituo vya uuzaji mafuta hayo kwa madai kuwa wameishiwa[/h]
source ITV
Huku kilosa diesel imeadimika toka ijumaa maeneo ya dumila imekuwa bidhaa adimu wafanyabiashara wanafanya wanavyotaka na hakuna wa kuwakemea kweli safari ni ndefu kufika nchi ya ahadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.