Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,704 39,778 Sep 26, 2012 #2 mbona sjaiona website yao zaidi ya blog za mtaani?
Firewall JF-Expert Member Aug 18, 2012 272 61 Sep 26, 2012 #3 Me sijawahi itumia, ila kua makini sababu nilijaribu kuwauliza tigo wakaikana io huduma!
Kiherehere JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,806 621 Sep 27, 2012 #4 huduma gani sasa,,,,,,,,,,, mbona hata hamjafafanua kwa sisi ambao hatujawahi kuiona kabisa??
Uncle Rukus JF-Expert Member Jun 16, 2010 2,415 398 Sep 27, 2012 #5 Kiherehere said: huduma gani sasa,,,,,,,,,,, mbona hata hamjafafanua kwa sisi ambao hatujawahi kuiona kabisa?? Click to expand... Wanadai huduma hiyo inakuwezesha kupiga simu kwenda mitandao yote bila kikomo kwa kulipia tsh 3,000 tu...
Kiherehere said: huduma gani sasa,,,,,,,,,,, mbona hata hamjafafanua kwa sisi ambao hatujawahi kuiona kabisa?? Click to expand... Wanadai huduma hiyo inakuwezesha kupiga simu kwenda mitandao yote bila kikomo kwa kulipia tsh 3,000 tu...
Kiherehere JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,806 621 Sep 27, 2012 #6 Uncle Rukus said: Wanadai huduma hiyo inakuwezesha kupiga simu kwenda mitandao yote bila kikomo kwa kulipia tsh 3,000 tu... Click to expand... Duuh!!! kwa bongo hii itakuwa ngumu....labda 2030+
Uncle Rukus said: Wanadai huduma hiyo inakuwezesha kupiga simu kwenda mitandao yote bila kikomo kwa kulipia tsh 3,000 tu... Click to expand... Duuh!!! kwa bongo hii itakuwa ngumu....labda 2030+