- Thread starter
- #21
We acha tu AD wangu kuna watu wanaweza kuigiza jinsia nyingine hadi unaingia line ukistuka tayari umeumia.Hahahahahahahah lol
nini kilimtia moyo kiasi hicho?
avatar,signature au posters..?
We acha tu AD wangu kuna watu wanaweza kuigiza jinsia nyingine hadi unaingia line ukistuka tayari umeumia.Hahahahahahahah lol
nini kilimtia moyo kiasi hicho?
avatar,signature au posters..?
Umemzimia/dondokea nani nikuonye mapema kama kuna walakini ?Yaani imekuwa kutakana mwanzo mwisho, sijui na mimi nianzishe yangu?
Soma hapo juu mambo ya mtu kusimama nyuma yangu HAPANA lol!
Umemzimia/dondokea nani nikuonye mapema kama kuna walakini ?
Smily it has happened dear hata wewe ikitokea kukuzimikia/dondokea(hypothetically ofcoz) itabidi unitumie copy ya birth cert. and passport people's feelings are getting hurt sweety.Aaaa Uporoto...acha wivu bana....
Smily it has happened dear hata wewe ikitokea kukuzimikia/dondokea(hypothetically ofcoz) itabidi unitumie copy ya birth cert. and passport people's feelings are getting hurt sweety.
Jamani AD tusubiri uthibitisho bana kuna jamaa hapa alidhani atapata huduma akaishia kutoa huduma hahaha!
Smily it has happened dear hata wewe ikitokea kukuzimikia/dondokea(hypothetically ofcoz) itabidi unitumie copy ya birth cert. and passport people's feelings are getting hurt sweety.
Good advice,kuna huyu dada kaja na mpya eti waziri ananitongoza u kanti bilivu.Mhhh...haya bana!
Unajua mimi sielewi, kama unamzimikia mtu kwanini usianze naye huko kwa PM, then mwisho wa siku utajua tu kama umeingia choo cha kike au cha kiume! Na anaweza kukuzima mapema kabla hujaungua....
We acha tu hahaha!hahahahahaha! Uporoto ckuwez ndg yng. Nmecheka mpaka machozi yamentoka! Nmependa jamaa alvyoishia kutoa huduma! Tehe, tehe, tehe! Ndo wakome kuzimikia avatar za wa2!
Good advice,kuna huyu dada kaja na mpya eti waziri ananitongoza u kanti bilivu.
Mhhh...haya bana!
Unajua mimi sielewi, kama unamzimikia mtu kwanini usianze naye huko kwa PM, then mwisho wa siku utajua tu kama umeingia choo cha kike au cha kiume! Na anaweza kukuzima mapema kabla hujaungua....
Aaaa Uporoto...acha wivu bana....
Hahahahahahaha LOL! Mie sitii neno ila Mhhhhhh!
YouTube - Danny Fernandes - Take Me Away
LOL! labda wanataka kumpora mrembo wake wa hapa jamvini..hivyo imebidi aanze kujihami mapema na kusitisha huduma hii ya kuanzisha "sredi" ya mrembo ambaye njemba (zi)anamzimikia
ulivoweka miguu hii haitapita siku kadhaa utadondokewa lol!Hahaha kazi ipo msidanganyike na avatar lol
Hahaha kweli mkuuHuduma ya kuzimikia/kudondokea kinadada humu JF imesitishwa kwa muda hadi hapo mtakapotangaziwa tena baada ya jamaa wawili kuwazimikia njemba ambao wao walidhani ni kinadada,kinakaka wanashauriwa kutozuzuka na avatar za wanachama wa MMU.