Huduma hii ikiwa imezinduliwa mwaka jana tu tayari ina wafuasi zaidi ya elfu ishirini(20,000) na wengine wanaongezeka kila siku kwa kasi. Imeshasaidia watu wengi kupata kazi kirahisi kutumia simu ya mkononi tu.Huduma hii ni kwa masaa 24.
Ushuhuda:
John Francis
Ushuhuda:
John Francis
"Nashukuru sana kwa kuwepo kwa huduma hii kwa sababu nilikuwa nimeshakata tamaa kununua magazeti kila siku. Mda mwingine niliweza kununua magazeti hata matano kwa siku (Zaidi ya shilingi 2,000) bila kupata aina ya kazi ninayohitaji. Lakini kwa kutumia huduma hii niliweza kutumiwa aina ya kazi niliyoomba kwa shilingi 150 tu.Na nilikuwa nina uwezo wa kusema sihitaji tena huduma hii mda wowote na kujiunga tena pindi ninapohitaji.Mwanzo nikuwa sihamini kama ninaweza pata nafasi za kazi katika simu yangu lakini nilipojaribu niliona inasaidia sana kuokoa mda na fedha.Badala ya kupokea message ambazo hazina faida maishani kwangu nilipata nafasi za kazi.Sasa hivi nina kazi yangu kama Mkaguzi wa Mahesabu ya Ndani na ninawashauri wanaotafuta kazi kujiunga na huduma hii.Huduma hii imebadilisha maisha yangu"
Kujiunga ni rahisi: Kwa kutumia simu yako unajisajili kwa kufuata maelekezo haya: Kazi/Job (acha nafasi ) aina ya kazi halafu unatuma kwenda 15522
Mfano:KAZI Uhasibu halafu unatuma kwenda 15522.
Baada ya hapo utakuwa unapokea nafasi za kazi(job vacancies) kila mara zitakapokuwepo mpaka hapo utakapojitoa kwa kuandika kazi stop au stop kazi au stop job. Kila message utakayotumiwa ni shilingi 123+VAT .Nafasi zaa kazi utakazotumiwa ni mpya kutoka kwa waajiri.
Aina ya message utakayotumiwa ni kama hii:
NAFASI YA KAZI:MHASIBU
Sifa:Shahada ya kwanza ya Uhasibu,Awe amesajiliwa na NBAA,Ujuzi wa Kompyuta
Maombi:Mwenyekiti,TAZARA SACCOS LTD,BOX 40929,DSM
Mwisho:15/01/09
AU
ACCOUNTANT II
Education: Degree/Adv Diploma in Accountancy,3yrs experience
Handwritten application:The C.E.O/Admin General,RITA,Box 9183,DSM
Deadline:04/02/2009
Masharti na kanuni vinazingatiwa