kujiunga tu na hiyo huduma unaweza subiri hata siku tatu,na wameshusha kutoka 2GB kuja 1GB WEEKLY BILA SABABU ZOZOTE ZINAZOELEWEKA MAANA KUNA WEZAO WA MAKAMPUNI MENGINE WANATOA MPAKA 3GB KWA ELFU 15,ACHILIA HAYO KUJIUNGA NI TABU MITAMBO YAO INASOMA TOFAUTI NA SIMU,UMETUMIA ELFU 5 KWENYE VOICE WANASEMA HUJATUMIA
Amia airtel.