mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Wakulu jana nimesoma kwenye gazeti kuwa Zantel wameanzisha huduma ya internate kwa wale wenye BB ila kama vile ni makusudi au kupitiwa hawajatoa kiasi unachotakiwa kukilipia ili upate hiyo huduma,pia hatujui kama ni limited au unlimited,kwa yule mwenye taarifa zaidi na atuhabarisha,sisi watumiaji sasa tunakuwa na uwanja mpana wa kuamua umtumie mtoa huduma gani kati ya watoa huduma