kama kawaida ya wabongo hata pahala stahihi pa kupeleka malalamiko yao hawapajui....hivi ni sahihi kwa habari ya kawaida kama hii kuwekwa katika jukwa la intelligence????!!!!!!!!!
NSSF hata data zao hazijakaa vizuri, michango inapelekwa hawaingizi kwenye account za member, unaomba statement hawajaingiza ukiuliza wanakwambia mwajiri wako hajaleta ukirudi kwa mwajiri anakupa receipt waliyompa na list ya majina na lako lipo ukirudi wanakuzungusha mpaka utoe chochote ndio wanakushuguliki.
wakuu, nafuatilia malipo yangu pale NSSF ubungo -- kama kuna mtu ana number ya mtu wa accounts ili nicheki naye kama cheki yangu tayari nikachukue maana nipo mbali - ni vizuri kuulizia kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.