Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Siku hizi mna Speed ndogo nimeshindwa Ku stream mpira Jana Mnazingua sana aisee.View attachment 400515
UTANGULIZI.
HALO MOVIE ni huduma ya filamu kwenye mtandao inayokupa filamu za kipekee za nyumbani na kimataifa kwenye muonekana wa HD kupitia simu yako au tablet. Unaweza kutazama filamu mpya za kuvutia za ndani na zile za kimataifa.
JINSI YA KUTUMIA HUDUMA
-Jisajili na huduma kwa kutembelea kiungo hiki http://halomovie.co.tz/.
GHARAMA ZA HUDUMA
-Kifurushi cha wiki: Tsh 600; Pata filamu 4 bure.
-Kifurushi cha mwezi: Tsh 2,000;Pata filamu 15 bure.
-Hitaji filamu: Tsh 300/Filamu.
-Gharama za Data: Bure
JIUNGE NASI
Facebook: VAS Halotel
WhatsApp: 0627 942 367
Instagram:vas_halotel
Email: Vas@Halotel.co.tz