mtzd
Member
- Jan 29, 2010
- 81
- 25
Wana JF,sijui kama kuna mmoja wenu ameshapatwa na hili,kwa kweli huduma zetu za mtandao wa TIGO siku hizi haziridhishi kabisa,mtu unapiga simu una shida ,cha kwanza simu haipokeliwi kuna number flani ya 0173800800 wanakwambia kabisa kila simu unakatwa sh 50 cha ajabu simu inaita zaidi ya dk 5 mpaka 7 bila majibu na hata inapopokelewa hupati msaada unaouhitahi,kwa kweli mnatoboa sansa still mtu unaamua kwenda mpaka kwenye centre zao mambo yanakua hayo hayo,wanakutumia msg kwamba tatizo lako linashughulikiwa almost up to three hours mtu una shida na TIGO-PESA na still hufanikiwi.tafadhali wahusika suala hili ni muhimu sana,Mtu unakuta una mgonjwa na unahitaji fedha kwa ajili ya kukuwezesha kumfanyia mgonjwa wako malipo na dawa,kweli hii ndio huduma mliyotuahidi.inaumiza sana na kuchukiza.